Jumatatu, 18 Mei 2015

CHINX DRUGS AUWAWA SIKU YA JANA

Siku ya jumapili haikua nzuri kwa familia ya Hip hop Marekani, baada ya rapper anaetokea katika familia ya French Montana ya Coke Boys kuuawa kwa kupigwa risasi mfululizo.
Anajulikana kama Chinx Drugs(31), akiwa ndani ya gari mitaa ya Qeens Boulevard ilitokea gari jirani yake na kushambuliwa kwa risasi mfululizo iliyopelekea mauaji hayo.
Chinx Drugs ameshafanya kazi na stars wa hip hop wakubwa duniani, kama French Montana aliyekuwa nae kundi moja na billionare Pdidy.