Jumanne, 23 Februari 2016

JOHN MWAMBIGIJA AWEWESEKA BAADA YA KUVULIWA CHEO CHAKE


Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mbeya Mjini John Mwambigija  alisema kuvuliwa Uongozi wake  njia iliyotumika sio sahihi.Hata hivyo imebainika Tayari mwambigija  ameshawishi baadhi ya Wanachama waweze kuandamana ili arudi kwenye nafasi yake ya Uenyekiti wa Wilaya .