Jumatano, 22 Julai 2015

Mtonyo Wataka Mashabiki wa Chadema Kuchomana Visu Leo Katika Uchaguzi wa Kuchagua Jina la Mbunge Atakaye peperusha Bendera ya Chadema Mkoani mbeya

Katikati Aliyevalia Gwanda la Chadema Wenzake Wakiwa Wanamtoa Nje ya Ukumbi Baada ya Kugundulika Kuwa Amevujisha Siri ya Baadhi ya Wanachama  Wamekula Mtonyo Kutoka kwa Wagombea Ubunge.Ndipo Kasheshe Likazuka Jamaa Akataka Kuwachoma Na Kisu Wenzake.
Mh  Joseph Mbilinyi Anayetetea Nafasi Yake ya Kupeperusha Bendera ya Chadema Akiwa na Wajumbe  wa Chama chake cha Chadema Nje ya Ukumbi wa Nyerere Uliopo Katika Chuo Cha Must .
Wanachama Wa Chadema wakiwa Nje ya Ukumbi Waliokuwa Wanapigia Kura  Wakiendelea Kusubiri Kutangazwa Kwa Mwakilishi Mmoja Atakaye Peperusha Bendera ya Chadema Kupitia Jimbo La Mbeya Mjini Nafasi ya Kugombea Ubunge.