Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata bure nitafanya kazi kwa Kajala,shughuli yoyote nitafanya Soudy’
Alhamisi, 4 Septemba 2014
WEMA ATIMAYE KAFUNGUKA
Kupitia
mitandao na magazeti siku chache zilizopita ilitoka stori ambayo
ilidai Kajala anaelekea kumuajiri Wema Sepetu,leo Wema kapatikana na
kakubali kuongelea isue hizo zote ikiwemo hiyo ya Kajala.Kupitia
You heard ya XXL ya Clouds Fm Soudy Brown alianza kwa kutaka kufahamu
kama kweli Kajala anaweza kumuajiri yeye[Wema],Wema Sepetu
akamjibu>>’Inawezekana,kila kitu kinawezekana Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata bure nitafanya kazi kwa Kajala,shughuli yoyote nitafanya Soudy’
Kuhusu mshahara ambao anataka kulipwa na Kajala,Wema Sepetu amejibu>>’Kwa Kajala mi sihitaji mshahara hata bure nitafanya kazi kwa Kajala,shughuli yoyote nitafanya Soudy’
