Ijumaa, 4 Septemba 2015

CCM MBEYA YAZINDUA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO ZA MBUNGE SAMBWEE SHITAMBALA

 Mgombea Ubunge kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Sambwee shitambala akiwahutubia Wananchi
 Mbunge wa Kuteuliwa na CCM Mh Mary Mwanjwela akimwaga sera zake katika viwanja vya Iganjo
 Meneja Kampeni wa Mgombea Ubunge Sambwee, Charles Mwakipesile akimnadi Sambwee

 Mwenyekiti wa Vijana Mkoa wa Mbeya Amani Kajuna alisema makundi kwake yalikwisha
Mwenyekiti wa Muunganiko wa Vyama vya Siasa ukitoa Ukawa akiwa na Shitambala