Jumapili, 19 Julai 2015

Hatimaye Yamekuwa James Mwampondele Arudisha Fomu Ya Kuwania Kuteuliwa Na Chama Chake Chama Cha Mapinduzi

Leo ndio Ilikuwa Siku ya Mwisho  ya Kuludisha Fomu za Makada Mbalimbali waliochukua Fomu za Kuwania Ubunge na Udiwani na Miongoni mwa Waliochukua fomu na  kurudisha leo Kipenzi cha  Vijana wa Mbeya James Mwampondele  Amesema kuwa Endapo Atapata Ridhaa ya Kuteuliwa na Chama Chake Cha (CCM) Ataitekeleza Ilani ya Chama Chake.