Jumapili, 13 Machi 2016

YANGA SC NA AZAM FC WATAKATA KIMATAIFA


Timu za Azam Fc na Yanga Sc zimefanikiwa kushinda michezo yao ya awali .Yanga walifanikiwa kushinda magoli 2 kwa 1 dhidi APR .nao Azam fc wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao matatu kwa bila.