Jumanne, 8 Machi 2016

MH.DR MARY MWANJELWA MBUNGE ATOA MSAADA WA MAGODORO NA MASHUKA IYUNGA SEKONDARI


Mh Dr mary mwanjelwa akabidhi msaada wa magodoro 20 na mashuka 40 ambayo gharama yake ni milioni moja na laki mbili akikabidhi mbele ya mkuu wa wilaya wa mbeya katibu wa mbunge tumaini ambakisye alisema kuwa mh mbunge yupo kikazi atakaporudi hatakuja kuwaona waanga wa shule ya iyunga mbeya.


 SIKILIZA VIDEO HII KATIBU WA MBUNGE NA MH MKUU WA WILAYA WAKITOA NENO
 MWAKILISHI WA MBUNGE TUMAINI AMBAKISYE AKITOA MSAADA WA MAGODORO NA MASHUKA  KWA WANAFUNZI IYUNGA SEKONDARI .PICHA NA VIDEO (HARUBU KABWE)