Jumatatu, 31 Agosti 2015

DIWANI WA KATA YA MAJENGO MBEYA ASEMA AKIPEWA NAFASI YA KUWA DIWANI ATATOA MICHANGO ISIYO YA LAZIMA KWA WANANCHI WA KATA YAKE

 Mgombea Udiwani Kata ya Majengo Joseph Mwasampeta akiwa anajinadi kwa wapiga kura wake
 Wanachama wa Chadema wakiwa wanamsikiliza Diwani wao akiwa anamwaga Sera zake
 Mgombea Ubunge Viti maalumu kwa tiketi ya chama cha Chadema  akiwa anaselebuka
Vijana wa Bodaboda nao hawakuwa mbali na mkutano huo wa diwani Mwasampeta