Jumatatu, 27 Aprili 2015

YANGA BINGWA WA TANZANIA 2014 / 2015



Timu ya yanga hatimaye wamekuwa mabingwa wa ligi kuu 2014/2015 na kufanya kuchukua makombe yakiwa 25 hadi sasa kwa maana hiyo yanga itakabidhiwa kombe lake  mechi ya mwisho dhidi ya ndanda fc mkoani mtwara  magoli ya yanga yamefungwa na hamis tambwe magoli 3 huku goli la 4 likifungwa na simon msuva  na goli la kufutia machozi lilifungwa na bantu admin  timu ya polisi hali imekuwa tete kwani hadi sasa wanahitaji  miujiza kuifunga mbeya city katika mchezo wake wa mwisho