Ijumaa, 20 Februari 2015

SOMA HII YA TIMBULO






Ijumaa ya February 20, Timbulo ambae amezungumzia kisa alichokutana nacho mwaka jana alipoenda Mwanza kwa ajili ya kufanya shoo, lakini wakati anafanya shoo maeneo ya Kahama kuna promota mmoja aliyekuwa ameandaa shoo na baadhi ya wasanii lakini hawakufika promota huyo akaamua kuzungumza na Timbulo ili aende kwenye shoo hiyo ili kuziba pengo wakakubaliana akaanza safari akiwa na dancer wake wawili, alipofika alikutana na promota huyo na kuanza kufanya PA, baadae alimtaka amlipe hela zake kabla hajafanya shoo lakini akawa anamkwepa na baadae akamkimbia, alipoona hivyo akamua kuripoti Polisi  kwa ajili ya usalama kutokana na watu ambao walikua wameshalipa kiingilio kwa ajili ya shoo hiyo na kisha akaondoka.