Jumatano, 29 Julai 2015

MCHEZO MCHAFU WA KUGAWA FEDHA KWA WANACHAMA WA CCM BALAA MBEYA MJINI ZAMWAGA PESA KAMA NJUGU KISA UBUNGE HARUBUTZ IMEBAINI

      Mwenyekiti wa Vijana Wilaya ya Mbeya Mjini Kushoto Matukuta akibadilishana mawazo na             kiongozi mwenzie
                           
 Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Allen Mbasha akiwa katika pozi maeneo ya Iwambi Mbeya
 Wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakiwa wanawasikiliza Wagombea Ubunge leo kata ya Itiji.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi akiwa anamkaribisha kada aliyejiunga na chama chake akitokea Chadema  siku ya leo katika Kata ya Itiji.