Ijumaa, 20 Mei 2016

MKUU WA MKOA WA MBEYA AMOS MAKALLA AKABIDHI MADAWATI LEO HUKO


Mkuu wa Mkoa wa Mbeya akagua utengenezaji wa madawati wilaya ya Kyela na amekabidhi madawati 776 kwa Shule 15 wilayani Kyela leo
Wilaya ya Kyela ina upungufu wa madawati 3000 na katika mpango kazi madawati yote yakishalipiwa na utengenezaji utakamilka mwishoni mwa mwezi huu
Akikabidhi madawati kwa Shule 15 Mkuu wa Mkoa amewawashukuru wananchi, wadau wote waliowezesha utengenezaji wa madawati yote
Amewataka wakurugenzi wote kukamilisha madawati tarehe 30 mei kabla ya ya tarehe ya mwisho wa agizo la Rais ukamilishsji madawati ni juni 30 mwaka huu
Kwa Mipango iliyoeekwa kuna kila uwezekano mikoa was mbeya ukakamilisha utengenezaji madawati mei 30