Jumapili, 5 Juni 2016

JAMES MWAMPONDELE ASHINDA UKATIBU UCHUMI NA FEDHA MKOA WA MBEYA


Ccm mkoa wa Mbeya na Songwe umefanya uchaguzi iliyokuwa wazi ya Ukatibu wa uchumi na fedha baada ya aliekuwa mwenye nafasi hiyo kufaliki toka mwaka jana.Katibu mpya wa uchumi na fedha amepatikana jana. James Mwampondele kushinda kwa kura 36 akifuatiwa na Mwakajumilo aliepata kura 25 na Charles Mwakipesile aliepata kura 4 hata hivyo baada ya kutangazwa mshindi Mwampondele alisema cha kwanza ni kuanza kutoa semina kwa wajumbe wote ,na kuanza kufuatilia miradi ya chama yote.